Interlude Sauti Sol

-
  • TextText file is a kind of computer file that is structured as a sequence of lines of electronic text.
  • WordUse for Microsoft Office Word or Open Office
  • PDFUse for Abobe Acrobat

Interlude Sauti Sol - Sauti Sol Lyrics


Nakuomba nerea usitoe mimba yangu, eh
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake
Lete nitamlea usitoe mimba yangu eh,
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake.
Huenda akawa Obama, atawale america
Huenda akawa Lupita, Oscar nazo akashinda
Huenda akawa Onyama, acheze soccer Uingereza
Huenda akawa Kenyatta, mwanzilishi wa taifaohhh
Nakuomba nerea usitoe mimba yangu eh
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake
Lete nitamlea usitoe mimba yangu eh
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake
Huenda akawa Magahi, hailinde mazingira
Huenda akawa Makeba, nyimbo nzuri akatunga
Huenda akawa Nyerere, aongoze Tanzania
Huenda akawa Mandela, mkombozi wa africa
Nakuomba nerea usitoe mimba yangu eh
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake
Lete nitamlea usitoe mimba yangu eh
Mungu akileta mtoto analeta sahani yake
Nakuomba nerea
nereanerea
usitoe mimba yangu
nerea
nerea
nerea
usitoe mimba yangu
Huenda akawa Kagame, atawale
Gara mongi odinga, tuungane
Huenda akawa Tomboya
Huenda akawa Rudisha
Huenda akawa malaika, Mungu ametupatia
Huenda akawa Sauti Sol
Huenda akawa Amos and Josh
Huenda akawa
ahhhh
Huenda akawa malaika, Mungu ametupatia

Interlude Sauti Sol lyrics !!!